Saturday, October 27, 2012

MISS TALENT 2012 NDANI YA GIRAFFE HOTEL

 Mshiriki namba 17 kutoka Rukwa Vency Edward akionesha umahiri wake wakucheza
 Mshiriki namba 13kutoka kanda ya mashariki,Joyce Balui akionesha uwezo wake wakusakata dansi
 Mgeni rasmi katika onyesho la Red's Miss Talent alikua Mbunge wa viti maalum -Arusha (katikati)Mh-Catheline Magige akizungumza machache
 Mshiriki namba 27 kutoka Ilala,Noela Machael akionesha kipaji chake cha kuimba
 Mshiriki namba 30,Waridi Frank akionesha jinsi yakucheza ngoma za asili
 Mshindi wa Redd's Miss Talent 2012 Baby Love kalala"kati kati"akiwa kwenye picha ya pamoja na warembo wengine
 Mshiriki namba 8 kutoka kanda ya ziwa Happy Rweyemamu akionesha kipaji chake chakuruka sarakasi
 Mshiriki namba 1 kutoka Kilimanjaro Nandi Rafael akionesha umahiriwake wakucheza dansi
 Mshiriki namba 29 kutoka Dodoma akioneza jinsi yakucheza Dansi
 Mshiriki namba 15 kutoka Temeke Catherine Msumbigana akionesha kipaji chake chakupiga zeze.
 Mshiriki namba 3 kutoka Chuo huria,Zuena Naseeb akionesha umahiriwake wa kuimba.
Mshindi wa Redd's miss Talent akionesha jinsi yakucheza ngoma za asili kwakutumia nyoka.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...