Saturday, October 27, 2012

MATUKIO YA KIIMANI YAZIDI KUCHUKUA KASI

Katibu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Arusha, Abdukarim Jonjo akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru akipata matibabu baada kujerehiwa na kitu kinachodhaniwa ni bomu juzi usiku na watu aliodai kuwa ni waumini wenzake. Picha na Filbert Rweyemamu

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...