Saturday, October 27, 2012

JACKLINE WOLPER’ ANYAKUA TAJI LA ‘IJUMAA SEXIEST GIRL 2012′…!!


 Chidi Benz (Chuma) akitoa burudani
 Msanii Ommy Dimpoz akipagawisha mashabiki
MSANII wa filamu Bongo, Jackline Wolper, usiku wa kuamkia leo ameibuka kidedea kwenye shindano lililokuwa likiwashirikisha mastaa wa kike Bongo la Ijumaa Sexiest Girl 2012 ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam.

Wolper amejizolea heshima lukuki na kitita cha sh. milioni 2 ikiwemo na ofa ya kulipiwa saluni kujiremba kwa mwaka mzima. Usiku wa leo pia ndani ya ukumbi huo kulikuwa na burudani kibao kutoka kwa
Ommy Dimpoz, Chidi Benz, Dogo Asley, TOT Taarab na michezo kibao ya watoto iliyosindikizwa na shindano la Mkali wa Mic.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...