Sunday, September 9, 2012

Hawa ni baathi ya viongozi wakubwa wa nchizao,Wa kwanza kushoto ni Jacob Zuma Rais wa South Africa,Barrack Obama Rais wa Muungano wa miji mikubwa ya Marekani,David Cameron waziri mkuu wa Uingereza, Hu Jintao Rais wa China, Jakaya M Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kuna maswali mengi yameibuka kwamba!!Mwanaume wa kweli anapaswa aweje.
wengine wanasema aweanapiga pamba(yan aweanavaa vizuri),wengine wanasema awemtafutaji,nawengine wanasema aweananguvu.Je!!wewe kwamtazamo wako unaongelea vipi kuhusu mada hii,

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...