Monday, October 29, 2012

HOTUBA HII YA WAZIRI MALUGO NI AIBU

NAIBU Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Augustino Mulugo amefunguka kuwaomba radhi Watanzania kwa kujichanganya kwake katika hotuba aliyoisoma kwenye mkutano wa kimataifa nchini Afrika Kusini hivi karibuni.
Global Publishers

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...